Swali: Kuna maswali mengi yanayouliza kuhusu hukumu ya kufanya maandamano na migomo na kulingania mambo hayo katika miji ya waislamu.
Jibu: Maandamano na migomo sio katika matendo ya waislamu na wala hayatambuliki katika historia ya waislamu. Haya ni katika mambo ya makafiri. Isitoshe ni vurugu ambazo haziridhiwi na Uislamu. Uislamu ni dini ya nidhamu na utulivu. Sio dini ya fujo na vurugu. Hivyo maandamano wala mgomo haifai.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidhl-il-Islaam (08) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/08.mp3
- Imechapishwa: 15/02/2019
Swali: Kuna maswali mengi yanayouliza kuhusu hukumu ya kufanya maandamano na migomo na kulingania mambo hayo katika miji ya waislamu.
Jibu: Maandamano na migomo sio katika matendo ya waislamu na wala hayatambuliki katika historia ya waislamu. Haya ni katika mambo ya makafiri. Isitoshe ni vurugu ambazo haziridhiwi na Uislamu. Uislamu ni dini ya nidhamu na utulivu. Sio dini ya fujo na vurugu. Hivyo maandamano wala mgomo haifai.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidhl-il-Islaam (08) http://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/08.mp3
Imechapishwa: 15/02/2019
https://firqatunnajia.com/sio-matendo-ya-waislamu/