Swali: Wakati mwanaume alipomposa mwanamke, aliweka sharti ya kwamba anatakiwa vilevile kumuoa rafiki yake. Unaonaje kuhusu sharti hii?
an-Najmiy: Nini? Kumuoa nani?
Muulizaji: Rafiki yake.
Jibu: Mwanaume amuoe? Ikiwa watakubaliana hivyo itakuwa inajuzu. Mlango uko wazi mbele yake. Ikiwa wanawake wote wawili watakubaliana hilo hakuna kizuizi. Tuwaambie nini? Kwamba haijuzu? Hapana.
- Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.sahab.net/forums/showthread.php?t=351323
- Imechapishwa: 20/09/2020
Swali: Wakati mwanaume alipomposa mwanamke, aliweka sharti ya kwamba anatakiwa vilevile kumuoa rafiki yake. Unaonaje kuhusu sharti hii?
an-Najmiy: Nini? Kumuoa nani?
Muulizaji: Rafiki yake.
Jibu: Mwanaume amuoe? Ikiwa watakubaliana hivyo itakuwa inajuzu. Mlango uko wazi mbele yake. Ikiwa wanawake wote wawili watakubaliana hilo hakuna kizuizi. Tuwaambie nini? Kwamba haijuzu? Hapana.
Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.sahab.net/forums/showthread.php?t=351323
Imechapishwa: 20/09/2020
https://firqatunnajia.com/sikubali-unioe-mpaka-umuoe-pia-rafiki-yangu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)