Swali: Je, haipaswi kuoanisha kati ya mapokezi yanayosema kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiingia ndani ya swalah ya Fajr wakati wa giza na kwamba alikuwa akirefusha kisomo hadi kunamulika?
Jibu: Hivyo ndivyo alivyofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Alikuwa akiswali Fajr katika giza na kurefusha kisomo. Kwa sababu hiyo Abu Barzah amesema:
“Walikuwa wakimaliza swalah wakati mtu anaweza kumtambua aliyekaa karibu naye.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27027/صفة-صلاة-النبي-عليه-الصلاة-والسلام-للفجر
- Imechapishwa: 21/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)