Swali 247: Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu namna ya kuweka mikono wakati wa Takbiyrat-ul-Ihraam – je, mikono iwe inakabiliana au ielekezwe upande wa Qiblah?
Jibu: Ielekezwe upande wa Qiblah. Shaykh wetu akainua mikono na kuelekeza vitanga upande wa Qiblah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 95
- Imechapishwa: 09/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 247: Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu namna ya kuweka mikono wakati wa Takbiyrat-ul-Ihraam – je, mikono iwe inakabiliana au ielekezwe upande wa Qiblah?
Jibu: Ielekezwe upande wa Qiblah. Shaykh wetu akainua mikono na kuelekeza vitanga upande wa Qiblah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 95
Imechapishwa: 09/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/sifa-ya-kuinua-mikono-wakati-wa-takbiyrat-ul-ihraam/