Swali: Ni lini hukatika jina la yatima? Je, kuna miaka maalum inayozingatiwa?

Jibu: Akishabaleghe unamalizika uyatima wake; anapofikisha miaka 15, kumwaga manii au kumea nywele sehemu za siri. Katika hali hiyo uyatima wake unamalizika. Kama ilivyokuja katika Hadiyth:

”Hakuna uyatima baada ya baleghe.”

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/29084/%D9%85%D8%A7-%D8%A7%D9%84%D8%B3%D9%86-%D8%A7%D9%84%D8%AA%D9%8A%C2%A0%D9%8A%D9%86%D9%82%D8%B7%D8%B9-%D8%B9%D9%86%D8%AF%D9%87%D8%A7-%D8%A7%D8%B3%D9%85-%D8%A7%D9%84%D9%8A%D8%AA%D9%8A%D9%85
  • Imechapishwa: 18/05/2025