Nilimuuliza Ahmad kuhusu mtu mwenye kula na kunywa Ramadhaan. Akasema: ”Hakuna juu yake kafara.” Nikasema: ”Ni kwa nini humjalii ni kama yule ambaye amejamiiana na mkewe?” Nikasema: ”Mi nisimjaalie hivo?” Hakuna Hadiyth yoyote inayotaja hilo. Ni vipi nitamuwajibishia kafara kwa kula na kunywa ilihali Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemuwajibishia kafara kwa kufanya jimaa? Ijapo yote hayo yanazingatiwa kuwa ni maasi, lakini kula na kunywa hakufananishwi na jimaa. Jimaa mtu anaweza kupigwa mawe na kuwajibika kuoga josho kubwa. Hakuna chochote katika hayo kinachofanana na kula na kunywa.”
- Muhusika: Imaam Ishaaq bin Mansuur al-Kawsaj al-Marwaziy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad bin Hanbal wa Ishaaq bin Raahuuyah (670)
- Imechapishwa: 01/03/2025
Nilimuuliza Ahmad kuhusu mtu mwenye kula na kunywa Ramadhaan. Akasema: ”Hakuna juu yake kafara.” Nikasema: ”Ni kwa nini humjalii ni kama yule ambaye amejamiiana na mkewe?” Nikasema: ”Mi nisimjaalie hivo?” Hakuna Hadiyth yoyote inayotaja hilo. Ni vipi nitamuwajibishia kafara kwa kula na kunywa ilihali Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amemuwajibishia kafara kwa kufanya jimaa? Ijapo yote hayo yanazingatiwa kuwa ni maasi, lakini kula na kunywa hakufananishwi na jimaa. Jimaa mtu anaweza kupigwa mawe na kuwajibika kuoga josho kubwa. Hakuna chochote katika hayo kinachofanana na kula na kunywa.”
Muhusika: Imaam Ishaaq bin Mansuur al-Kawsaj al-Marwaziy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad bin Hanbal wa Ishaaq bin Raahuuyah (670)
Imechapishwa: 01/03/2025
https://firqatunnajia.com/si-kama-kula-na-kunywa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
