Swali: Je, inajuzu kufanya sherehe za furaha na harusi misikitini?
Jibu: Hapana, jambo tu linalohusiana na jihaad. Kwa sababu mchezo wa wahabashi ni miongoni mwa kupigana jihaad kwa mishale na kwa ngao. Ama yanayohusiana na furaha, huenda yakawa na shari katika msikiti, huenda yakawa na uharibifu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/27769/حكم-اقامة-الافراح-والاعراس-في-المساجد
- Imechapishwa: 17/04/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)