Swali: Ni ipi hukumu ya kusherehekea siku ya mama, siku ya mwalimu au sikukuu zengine mbali na hizo?
Jibu: Hapana. Hakuna sikukuu isipokuwa ´Iyd-ul-Fiwtr au ´Iyd-ul-Adhwhaa´. Katika Uislamu hakuna zaidi ya sikukuu hizi mbili. Haijalishi kitu kama ni siku ya taifa, siku ya mama wala siku nyengine yoyote. Haijuzu kufanya hivi. Huku ni kuzua Bid´ah ambayo haikuwekwa na Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (58) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/15-01-1438-ighastat.mp3
- Imechapishwa: 22/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket