Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya sherehe katika mnasaba wa kuzaliwa mtoto mpya baada ya mwaka mmoja peke yake?
Jibu: Haijuzu kusherehekea mazazi. Hii ni Bid´ah:
“Kila Bid´ah ni upotevu.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah22-05-1438h.mp3
- Imechapishwa: 18/10/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya sherehe katika mnasaba wa kuzaliwa mtoto mpya baada ya mwaka mmoja peke yake?
Jibu: Haijuzu kusherehekea mazazi. Hii ni Bid´ah:
“Kila Bid´ah ni upotevu.”
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (67) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah22-05-1438h.mp3
Imechapishwa: 18/10/2017
https://firqatunnajia.com/sherehe-ya-mtoto-kwa-kutimiza-mwaka-mmoja/