Kuna baadhi ya watu wakiambiwa kitu fulani ni Sunnah wanasema “Mwanachuoni fulani amesema kadhaa na kadhaa.” Hawa ni katika wale wenye kufuata kichwa mchunga na washabiki. Kuhusiana na mwenye kutumia hoja kauli ya mwanachuoni fulani na yeye hajui kuhusu Sunnah [ya Mtume], huyu halaumiwi. Taqliyd ya mtu asiyejijua inajuzu na ni sawa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/284)
- Imechapishwa: 27/09/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)