Kisha akasema (´alayhis-Salaam):
“Hakika ya kila Bid´ah ni upotevu.”
Kila Bid´ah katika dini ya Allaah ni upotevu. Hata kama mwenye nayo atafikiria kuwa ni kheri na uongofu, ni upotevu. Haimzidishii mtu kwa Mola Wake isipokuwa kumuweka mbali zaidi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/285)
- Imechapishwa: 27/09/2024
Kisha akasema (´alayhis-Salaam):
“Hakika ya kila Bid´ah ni upotevu.”
Kila Bid´ah katika dini ya Allaah ni upotevu. Hata kama mwenye nayo atafikiria kuwa ni kheri na uongofu, ni upotevu. Haimzidishii mtu kwa Mola Wake isipokuwa kumuweka mbali zaidi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (02/285)
Imechapishwa: 27/09/2024
https://firqatunnajia.com/bidah-inamuweka-mtu-mbali-na-allaah/