Swali: Baadhi ya wagonjwa wanawawekea sharti wale wafanya matabano ya kwamba hawatowapa malipo isipokuwa pale Allaah atapowaponya. Je, inafaa kuweka sharti hiyo?
Jibu: Ndio. Inafaa kwa mgonjwa au ambaye amepatwa ya kwamba akipona ndio atampa mfanya matabano kitu fulani.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/40)
- Imechapishwa: 23/05/2026
Swali: Baadhi ya wagonjwa wanawawekea sharti wale wafanya matabano ya kwamba hawatowapa malipo isipokuwa pale Allaah atapowaponya. Je, inafaa kuweka sharti hiyo?
Jibu: Ndio. Inafaa kwa mgonjwa au ambaye amepatwa ya kwamba akipona ndio atampa mfanya matabano kitu fulani.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/40)
Imechapishwa: 23/05/2026
https://firqatunnajia.com/sharti-ya-mgonjwa-ya-kutotoa-malipo-isipokuwa-baada-ya-kupona/