Swali: Kuna shabiki mwabudia kaburu ambaye namjua alitoa shahaadah kabla ya kufa. Baada ya hapo hakufanya kitu chenye kuchengua shahaadah yake. Je, tuseme kuwa amekufa hali ya kuwa ni muislamu?
Jibu: Ndio, akisema hili ya kuwa ni mwenye kutubu. Hata hivyo shahaadah haimnufaishi chochote akiitamka na huku ni mwenye kuendelea katika hali yake za zamani.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20%20-%204%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Kuna shabiki mwabudia kaburu ambaye namjua alitoa shahaadah kabla ya kufa. Baada ya hapo hakufanya kitu chenye kuchengua shahaadah yake. Je, tuseme kuwa amekufa hali ya kuwa ni muislamu?
Jibu: Ndio, akisema hili ya kuwa ni mwenye kutubu. Hata hivyo shahaadah haimnufaishi chochote akiitamka na huku ni mwenye kuendelea katika hali yake za zamani.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20%20-%204%20-%201%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/shahaadah-ya-mwabudu-kaburi-kabla-ya-kufa/