Swali: Vipi kuhusu sentesi:
في العالمين إنك حميد مجيد
”… katika ulimwengu kote. Kwani hakika Wewe ni Mwenye kuhidimiwa na Mwenye kutukuzwa.”
Jibu: Hii ni wakati wa kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), si katika Tashahhud. Hapana vibaya akisema hivo. Imepokelewa katika upokezi wa Ibn Mas’uud:
اللهم صل على محمد [النبي الأمي]و على آل محمد كما صليت على [آل]إبراهيم، و بارك على محمد [النبي الأمي]و على آل محمد كما باركت على [آل]إبراهيم في العالمين، إنك حميد مجيد
“Ee Allaah! Msifu Muhammad [Mtume ambaye si msomi] na jamaa zake Muhammad kama Ulivyowasifu [jamaa za] Ibraahiym. Mbariki Muhammad [Mtume ambaye si msomi] na jamaa zake Muhammad kama Ulivyowabariki [jamaa za] Ibraahiym katika ulimwengu kote. Kwani hakika Wewe ni Mwenye kuhidimiwa na Mwenye kutukuzwa.”[1]
[1] Muslim, Abu ´Awaanah, Ibn Abiy Shaybah katika ”al-Muswannaf” (1/132/2), Abu Daawuud na an-Nasaa’iy (159-161). Swahiyh kwa mujibu wa al-Haakim.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24856/حكم-زيادة-في-العالمين-في-التشهد
- Imechapishwa: 20/12/2024
Swali: Vipi kuhusu sentesi:
في العالمين إنك حميد مجيد
”… katika ulimwengu kote. Kwani hakika Wewe ni Mwenye kuhidimiwa na Mwenye kutukuzwa.”
Jibu: Hii ni wakati wa kumswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), si katika Tashahhud. Hapana vibaya akisema hivo. Imepokelewa katika upokezi wa Ibn Mas’uud:
اللهم صل على محمد [النبي الأمي]و على آل محمد كما صليت على [آل]إبراهيم، و بارك على محمد [النبي الأمي]و على آل محمد كما باركت على [آل]إبراهيم في العالمين، إنك حميد مجيد
“Ee Allaah! Msifu Muhammad [Mtume ambaye si msomi] na jamaa zake Muhammad kama Ulivyowasifu [jamaa za] Ibraahiym. Mbariki Muhammad [Mtume ambaye si msomi] na jamaa zake Muhammad kama Ulivyowabariki [jamaa za] Ibraahiym katika ulimwengu kote. Kwani hakika Wewe ni Mwenye kuhidimiwa na Mwenye kutukuzwa.”[1]
[1] Muslim, Abu ´Awaanah, Ibn Abiy Shaybah katika ”al-Muswannaf” (1/132/2), Abu Daawuud na an-Nasaa’iy (159-161). Swahiyh kwa mujibu wa al-Haakim.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24856/حكم-زيادة-في-العالمين-في-التشهد
Imechapishwa: 20/12/2024
https://firqatunnajia.com/sentesi-katika-ulimwengu-kote-wakati-wa-kumswalia-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)