Swali: Je, Khawaarij ni makafiri?
Jibu: Sio makafiri kwa mujibu wa maoni sahihi. Bali kama alivosema ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh):
“Wamekimbia mbali na ukafiri.”
Maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Wanatoka nje ya dini kama unavyotoka mshale kutoka kwenye upinde wake.”
hakusudii msingi wa dini. Bali anachokusudia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni sehemu kubwa ya dini yao.
- Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://saleh.af.org.sa/sites/default/files/2017-11/0101_0.mp3
- Imechapishwa: 10/09/2022
Swali: Je, Khawaarij ni makafiri?
Jibu: Sio makafiri kwa mujibu wa maoni sahihi. Bali kama alivosema ´Aliy (Radhiya Allaahu ´anh):
“Wamekimbia mbali na ukafiri.”
Maneno yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Wanatoka nje ya dini kama unavyotoka mshale kutoka kwenye upinde wake.”
hakusudii msingi wa dini. Bali anachokusudia (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni sehemu kubwa ya dini yao.
Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://saleh.af.org.sa/sites/default/files/2017-11/0101_0.mp3
Imechapishwa: 10/09/2022
https://firqatunnajia.com/sehemu-kubwa-ya-dini-ya-khawaarij/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)