Swali: Inafaa kwa muislamu kununua wale samaki wa mapambo na kuwaweka nyumbani kwake?
Jibu: Midhali wataishi na watapewa chakula, hakuna neno. Midhali wataishi na watapewa chakula na maji hakuna neno.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (93) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighstah%20-20-1-1440_0.mp3
- Imechapishwa: 18/04/2019
Swali: Inafaa kwa muislamu kununua wale samaki wa mapambo na kuwaweka nyumbani kwake?
Jibu: Midhali wataishi na watapewa chakula, hakuna neno. Midhali wataishi na watapewa chakula na maji hakuna neno.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (93) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighstah%20-20-1-1440_0.mp3
Imechapishwa: 18/04/2019
https://firqatunnajia.com/samaki-wa-mapambo/