Swali: Kuna mwanamke wa Kiislamu anaishi katika nchi ya kikafiri na anapanga kufungua saluni kwa ajili ya kupamba nywele za wanawake ambapo katika wateja watakuweko wanawake wa Kiislamu na wa kikafiri. Je, inajuzu?
Jibu: Ni sawa ikiwa atazipamba nywele zao kwa mujibu wa Sunnah. Hata hivyo asiwapambe kwa njia ya haramu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
- Imechapishwa: 25/10/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)