Swali: Je, inafaa kumtolea mtu salamu kwa mbali kwa kumuashiria?
Jibu: Ndio. Lengo ni ili ajue kuwa unamsalimia. Kwa sababu hasikii sauti yako. Usiishilie kumuashiria peke yake. Mtolee salamu kwa kutamka na umuashirie ili ajue kuwa unamsalimia yeye.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (19) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-22011435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/12/2019
Swali: Je, inafaa kumtolea mtu salamu kwa mbali kwa kumuashiria?
Jibu: Ndio. Lengo ni ili ajue kuwa unamsalimia. Kwa sababu hasikii sauti yako. Usiishilie kumuashiria peke yake. Mtolee salamu kwa kutamka na umuashirie ili ajue kuwa unamsalimia yeye.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (19) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtfq-22011435-01.mp3
Imechapishwa: 21/12/2019
https://firqatunnajia.com/salimia-na-uashirie/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)