Swali: Je, inafaa kwa mtu kubusu miguu ya wazazi wake?
Jibu: Hapana, inatosha kuwapea mkono. Au awabusu kwenye paji pa uso.
Swali: Vipi kwa anayefanya hivi?
Jibu: Bora ni kuacha kufanya hivo. Bora ni kuacha kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24579/هل-يجوز-تقبيل-قدم-الوالدين
- Imechapishwa: 03/11/2024
Swali: Je, inafaa kwa mtu kubusu miguu ya wazazi wake?
Jibu: Hapana, inatosha kuwapea mkono. Au awabusu kwenye paji pa uso.
Swali: Vipi kwa anayefanya hivi?
Jibu: Bora ni kuacha kufanya hivo. Bora ni kuacha kufanya hivo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24579/هل-يجوز-تقبيل-قدم-الوالدين
Imechapishwa: 03/11/2024
https://firqatunnajia.com/salamu-za-kubusu-miguu-ya-wazazi/