Salamu kutoka kwa waabudu moto

Swali 05: Waabudia moto na wasiokuwa watu wa Kitabu wanataamiliwa mualama wa watu wa Kitabu katika kuitikiwa salamu?

Jibu: Ndio, awaitikie. Wasianze kupewa salamu. Ni kama mayahudi na manaswara.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 31
  • Imechapishwa: 18/07/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´