Swali 131: Ikiwa mtu amevaa soksi za ngozi za upande wa kulia baada ya kuosha mguu wa kulia – je, anaruhusiwa kupangusa juu yake?
Jibu: Lililo salama zaidi ni kuivua baada ya kuosha mguu wa kushoto. Shaykhul-Islaam (Rahimahu Allaah) ameruhusu jambo hilo, lakini mimi nasimama juu ya hilo. Salama zaidi ni kuivua kisha ndio aivae.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 64
- Imechapishwa: 25/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)