Swali: Nilikuwa naomba tafsiri ya neno “Salaf” na ni kina nani “Salafiyyuun”?
Jibu: Salaf ni Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ambao ndio wenye kumfuata Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) miongoni mwa Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) na wenye kufuata uongofu wao mpaka siku ya Qiyaamah. Wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoulizwa juu ya kundi lililookoka akasema:
“Ni lile lenye kufuata yale niliyomo mimi hii leo na Maswahabah zangu.”
- Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/164)
- Imechapishwa: 23/08/2020
Swali: Nilikuwa naomba tafsiri ya neno “Salaf” na ni kina nani “Salafiyyuun”?
Jibu: Salaf ni Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ambao ndio wenye kumfuata Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) miongoni mwa Maswahabah (Radhiya Allaahu ´anhum) na wenye kufuata uongofu wao mpaka siku ya Qiyaamah. Wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipoulizwa juu ya kundi lililookoka akasema:
“Ni lile lenye kufuata yale niliyomo mimi hii leo na Maswahabah zangu.”
Muhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (2/164)
Imechapishwa: 23/08/2020
https://firqatunnajia.com/salafiyyah-ndio-ahl-us-sunnah-wal-jamaaah-ii/