Swali: Unawanasihi nini Salafiyyuun Oman wanaoishi kati ya Khawaarij na mapote mengine? Ni vipi mtu atatangamana na mapote na makundi hayo?
Jibu: Lililo la wajibu kwa mja ni yeye kumcha Allaah kiasi na anavyoweza na atekeleze yale aliyomwamrisha Allaah kiasi na anavyoweza. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
”Mcheni Allaah muwezavyo.”[1]
Akilazimika kuwa na mawasiliano na mapote, basi afanye biashara nao pasi na kujiachia, kuzungumza nao, kufanya nao matani wala chochote katika hayo. Haya ndio yanayomlazimu kutokana na vile ninavyoona.
[1] 64:16
- Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fath-ur-Rahiym al-Waduud, uk. 253
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Unawanasihi nini Salafiyyuun Oman wanaoishi kati ya Khawaarij na mapote mengine? Ni vipi mtu atatangamana na mapote na makundi hayo?
Jibu: Lililo la wajibu kwa mja ni yeye kumcha Allaah kiasi na anavyoweza na atekeleze yale aliyomwamrisha Allaah kiasi na anavyoweza. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
فَاتَّقُوا اللَّـهَ مَا اسْتَطَعْتُمْ
”Mcheni Allaah muwezavyo.”[1]
Akilazimika kuwa na mawasiliano na mapote, basi afanye biashara nao pasi na kujiachia, kuzungumza nao, kufanya nao matani wala chochote katika hayo. Haya ndio yanayomlazimu kutokana na vile ninavyoona.
[1] 64:16
Mhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fath-ur-Rahiym al-Waduud, uk. 253
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/salafiy-hafanyi-mzaha-na-ahl-ul-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)