Swali: Atapokuwepo mmoja katika watu wa sasa amewazungumzia Maswahabah tunaweza kusema ya kwamba maneno yake ni kama ambavyo baadhi ya Salaf walivyowaponda baadhi ya Maswahabah. Ni vipi tutaraddi utata huu?
Jibu: Salaf ambao waliwazungumzia vibaya Maswahabah ni Khawaarij na Raafidhwah. Kuhusu Ahl-us-Sunnah hawakuwazungumzia vibaya Maswahabah. Salaf anaomaanisha ni Khawaarij na Raafidhwah. Kuhusu Ahl-us-Sunnah na Salaf walizichunga heshima za Maswahabah. ´Umar bin ´Abdil-´Aziyz amesema:
“Hao ni watu ambao Allaah amezihifadhi silaha zenu kutokamana na damu zao na sisi tuihifadhi midomo yetu kutokamana na heshima zao.”
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Usuwl-is-Sunnah, uk. 59
- Imechapishwa: 29/07/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)