Swali: Ni ipi hukumu ya kuandika Aayah za Qur-aan na kuzibandika katika misikiti au majumbani?
Jibu: Haifai. Dogo kabisa liwezalo kusemwa ni kwamba inachukiza, kwa sababu huwafanya wanaoswali washughulike, kuwakera na huwavuruga. Misikiti inapaswa iwe salama kutokana na mambo haya ili wanaoswali wasishughulishwe na visomo, maandishi na michoro iliyo kwenye kuta.
Swali: Hata katika majumbani pia?
Jibu: Hapana. Majumbani ni mepesi zaidi, lakini misikiti ndiyo inapaswa itakaswe na mambo haya ili yasiwashughulishe wanaoswali. Ama majumbani jambo lake ni pana zaidi.
Swali: Huenda Aayah zikamkumbusha swalah au unyenyekevu?
Jibu: Salaf wetu hawakuwa wakifanya jambo hili katika misikiti.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1936/حكم-تعليق-الايات-القرانية-على-جدران-المساجد-والبيوت
- Imechapishwa: 28/12/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya kuandika Aayah za Qur-aan na kuzibandika katika misikiti au majumbani?
Jibu: Haifai. Dogo kabisa liwezalo kusemwa ni kwamba inachukiza, kwa sababu huwafanya wanaoswali washughulike, kuwakera na huwavuruga. Misikiti inapaswa iwe salama kutokana na mambo haya ili wanaoswali wasishughulishwe na visomo, maandishi na michoro iliyo kwenye kuta.
Swali: Hata katika majumbani pia?
Jibu: Hapana. Majumbani ni mepesi zaidi, lakini misikiti ndiyo inapaswa itakaswe na mambo haya ili yasiwashughulishe wanaoswali. Ama majumbani jambo lake ni pana zaidi.
Swali: Huenda Aayah zikamkumbusha swalah au unyenyekevu?
Jibu: Salaf wetu hawakuwa wakifanya jambo hili katika misikiti.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1936/حكم-تعليق-الايات-القرانية-على-جدران-المساجد-والبيوت
Imechapishwa: 28/12/2025
https://firqatunnajia.com/salaf-hawakuwa-wakiandika-aayah-za-qur-aan-misikitini-na-majumbani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket