Swali: Baadhi ya watu wanaenda nchikavu kabla ya swalah ya ijumaa. Je, ni wajibu kwao kurudi na kuhudhuria swalah ya ijumaa?
Jibu: Haijuzu kwao kuanza safari baada ya imamu kuadhini adhaana ya pili. Ni wajibu kwao kusimama na kuswali. Hata hivyo inafaa kwao kuanza safari kabla ya kuadhiniwa adhaana ya pili. Lakini wasiache swalah ya ijumaa. Ikiwa inaswaliwa njiani, waswali ili wapate ujira.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-26-10-1434.mp3
- Imechapishwa: 21/10/2017
Swali: Baadhi ya watu wanaenda nchikavu kabla ya swalah ya ijumaa. Je, ni wajibu kwao kurudi na kuhudhuria swalah ya ijumaa?
Jibu: Haijuzu kwao kuanza safari baada ya imamu kuadhini adhaana ya pili. Ni wajibu kwao kusimama na kuswali. Hata hivyo inafaa kwao kuanza safari kabla ya kuadhiniwa adhaana ya pili. Lakini wasiache swalah ya ijumaa. Ikiwa inaswaliwa njiani, waswali ili wapate ujira.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (13) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdah%20Fiqh-26-10-1434.mp3
Imechapishwa: 21/10/2017
https://firqatunnajia.com/safari-ya-ijumaa-iliyokatazwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket