Swali: Msafiri moja ya siku za Ramadhaan amenuia kutofunga. Alipofika uwanja wa ndege safari ikaahirishwa. Ni ipi hukumu ya funga yangu pamoja na kuzingatia kwamba bado sijala?
Jibu: Midhali ulinuia kula basi huna swawm, ni mamoja uliwahi kula au hukula. Kutokana na hili ni lazima kulipa siku hiyo.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: I´laam-ul-Musaafiriyn, uk. 72
- Imechapishwa: 28/05/2019
Swali: Msafiri moja ya siku za Ramadhaan amenuia kutofunga. Alipofika uwanja wa ndege safari ikaahirishwa. Ni ipi hukumu ya funga yangu pamoja na kuzingatia kwamba bado sijala?
Jibu: Midhali ulinuia kula basi huna swawm, ni mamoja uliwahi kula au hukula. Kutokana na hili ni lazima kulipa siku hiyo.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: I´laam-ul-Musaafiriyn, uk. 72
Imechapishwa: 28/05/2019
https://firqatunnajia.com/safari-imeahirishwa/