Swali 132: Je, ni kweli kwamba wanawake ndio wakazi wengi wa Motoni? Kwa nini iwe hivo?
Jibu: Ni kweli. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwaambia wakati alipokuwa anawatolea Khutbah:
“Enyi kongamano la wanawake! Toeni swadaqah. Kwani hakika mimi nyinyi ndio wakazi wengi wa Motoni.”
Kumepokelewa kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) utatizi huu ulioulizwa na muulizaji: “Tukasema: “Kwa nini, ee Mtume wa Allaah?” Akasema:
“Mnakithirisha laana na mnakufuru wema.”
Akasababisha (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) sababu ya kuwa kwao wengi Motoni. Kwa sababu wanakithirisha laana, matusi na maapizo na wanakufuru wema ambao ni yule mume. Ndio maana wakawa wakazi wengi wa Motoni.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 533
- Imechapishwa: 14/08/2019
Swali 132: Je, ni kweli kwamba wanawake ndio wakazi wengi wa Motoni? Kwa nini iwe hivo?
Jibu: Ni kweli. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliwaambia wakati alipokuwa anawatolea Khutbah:
“Enyi kongamano la wanawake! Toeni swadaqah. Kwani hakika mimi nyinyi ndio wakazi wengi wa Motoni.”
Kumepokelewa kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) utatizi huu ulioulizwa na muulizaji: “Tukasema: “Kwa nini, ee Mtume wa Allaah?” Akasema:
“Mnakithirisha laana na mnakufuru wema.”
Akasababisha (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) sababu ya kuwa kwao wengi Motoni. Kwa sababu wanakithirisha laana, matusi na maapizo na wanakufuru wema ambao ni yule mume. Ndio maana wakawa wakazi wengi wa Motoni.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 533
Imechapishwa: 14/08/2019
https://firqatunnajia.com/sababu-ya-wanawake-kuwa-wakazi-wengi-wa-motoni/