Swali: Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Nilikuwa nimewakataza kuyatembelea makaburi… ”
Jibu: Mwanzoni walikuwa wamekatazwa kuyatembelea makaburi, kisha katazo hilo likafutwa. Hii ni kwa sababu walikuwa wapya katika Uislamu, hivyo wakakatazwa kuyatembelea makaburi ili kuepusha kutokea kwa shirki yoyote. Lakini baada ya Uislamu kuthibitika katika nyoyo zao na wakauelewa, basi wakaruhusiwa kuyatembelea makaburi. Kwa sababu sasa kuna manufaa bila madhara. Kutembelea makaburi kunalainisha nyoyo na kukumbusha kifo na Aakhirah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28809/هل-كانت-زيارة-القبور-ممنوعة-ثم-رخص-فيها
- Imechapishwa: 25/04/2025
Swali: Maneno yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Nilikuwa nimewakataza kuyatembelea makaburi… ”
Jibu: Mwanzoni walikuwa wamekatazwa kuyatembelea makaburi, kisha katazo hilo likafutwa. Hii ni kwa sababu walikuwa wapya katika Uislamu, hivyo wakakatazwa kuyatembelea makaburi ili kuepusha kutokea kwa shirki yoyote. Lakini baada ya Uislamu kuthibitika katika nyoyo zao na wakauelewa, basi wakaruhusiwa kuyatembelea makaburi. Kwa sababu sasa kuna manufaa bila madhara. Kutembelea makaburi kunalainisha nyoyo na kukumbusha kifo na Aakhirah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/28809/هل-كانت-زيارة-القبور-ممنوعة-ثم-رخص-فيها
Imechapishwa: 25/04/2025
https://firqatunnajia.com/sababu-ya-mwanzoni-mwa-uislamu-kukatazwa-kuyatembelea-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
