Swali 738: Je, Ibn-ul-Qayyim aliandika ”Zaad-ul-Ma´aad” huku akiwa na vitabu pamoja naye safarini?
Jibu: Ndio, alikuwa navyo. Ibn-ul-Qayyim alikosa mambo mengi ya kuhusiana na kusahihisha Hadiyth, kwa sababu aliandika akiwa safarini na hivyo yakampita mambo mengi. Alikuwa akitaja Hadiyth dhaifu na mara anasahau, kwa sababu alikuwa akiziandika kwa kutegemea kumbukumbu yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 261
- Imechapishwa: 12/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket