Swali 738: Je, Ibn-ul-Qayyim aliandika ”Zaad-ul-Ma´aad” huku akiwa na vitabu pamoja naye safarini?
Jibu: Ndio, alikuwa navyo. Ibn-ul-Qayyim alikosa mambo mengi ya kuhusiana na kusahihisha Hadiyth, kwa sababu aliandika akiwa safarini na hivyo yakampita mambo mengi. Alikuwa akitaja Hadiyth dhaifu na mara anasahau, kwa sababu alikuwa akiziandika kwa kutegemea kumbukumbu yake.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 261
- Imechapishwa: 12/07/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 738: Je, Ibn-ul-Qayyim aliandika ”Zaad-ul-Ma´aad” huku akiwa na vitabu pamoja naye safarini?
Jibu: Ndio, alikuwa navyo. Ibn-ul-Qayyim alikosa mambo mengi ya kuhusiana na kusahihisha Hadiyth, kwa sababu aliandika akiwa safarini na hivyo yakampita mambo mengi. Alikuwa akitaja Hadiyth dhaifu na mara anasahau, kwa sababu alikuwa akiziandika kwa kutegemea kumbukumbu yake.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 261
Imechapishwa: 12/07/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/sababu-ya-ibn-ul-qayyim-kupitwa-na-mambo-kadhaa-katika-zaad-ul-maaad/