Swali: Hukumu ya mwenye kuvaa saa yenye msalaba ni haramu au inachukiza tu?
Jibu: Hapana, imekatazwa. Haijuzu. Msalaba huu ufunikwe na kitu kwa kuusugua au aweke kitu katika dawa ambayo itaufuta.
Swali: Vipi ikiwa mtu hakukusudia?
Jibu: Haijalishi kitu mtu hakukusudia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuacha chochote chenye msalaba isipokuwa aliteketeza. Kwa hivyo saa yenye msabala ni lazima msalaba huo uondoshwe au aweke rangi itayoufuta.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24122/حكم-لبس-ساعة-فيها-صليب
- Imechapishwa: 02/09/2024
Swali: Hukumu ya mwenye kuvaa saa yenye msalaba ni haramu au inachukiza tu?
Jibu: Hapana, imekatazwa. Haijuzu. Msalaba huu ufunikwe na kitu kwa kuusugua au aweke kitu katika dawa ambayo itaufuta.
Swali: Vipi ikiwa mtu hakukusudia?
Jibu: Haijalishi kitu mtu hakukusudia. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hakuacha chochote chenye msalaba isipokuwa aliteketeza. Kwa hivyo saa yenye msabala ni lazima msalaba huo uondoshwe au aweke rangi itayoufuta.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24122/حكم-لبس-ساعة-فيها-صليب
Imechapishwa: 02/09/2024
https://firqatunnajia.com/saa-yenye-msalaba/