Swali 618: Ni ipi hukumu ya kuwa na saa ya fedha?
Jibu: Inatakiwa kuepuka:
”Hivyo ni vya kwao duniani na ni vyetu Aakhirah.”
Imekuja katika Hadiyth nyingine:
”Lazimianeni na fedha na chezeni nayo.”
Hata hivyo ni dhaifu. Kwa hiyo bora ni kuacha kufanya hivo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 220
- Imechapishwa: 13/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 618: Ni ipi hukumu ya kuwa na saa ya fedha?
Jibu: Inatakiwa kuepuka:
”Hivyo ni vya kwao duniani na ni vyetu Aakhirah.”
Imekuja katika Hadiyth nyingine:
”Lazimianeni na fedha na chezeni nayo.”
Hata hivyo ni dhaifu. Kwa hiyo bora ni kuacha kufanya hivo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 220
Imechapishwa: 13/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/saa-ya-fedha-kwa-mwanaume/