Swali: Baadhi ya benki hazichukui ribaa, lakini zinaweka sharti la adhabu ya kifedha ikiwa mkopaji atachelewa kulipa?
Jibu: Hii ni ribaa ya kipindi kabla ya kuja Uislamu. Wanasema ikiwa muda wa deni utapita na hutanilipa, basi linaongezeka. Hii ni ribaa ya kipindi kabla ya kuja Uislamu. Inahusiana na kwamba ima deni liongezeke au ulipe.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25416/ما-حكم-الشرط-الجزاىي-في-قروض-البنوك
- Imechapishwa: 09/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)