Swali: Vipi kufasiri swalah kwamba ni rehema?
Jibu: Hapana. Kuswalia kwa Allaah ni kusifu. Husemwa kwamba Allaah anawaswalia waja Wake (صلاة على عباده). Lakini ndani ya swalah kunaingia pia rehema. Amesema (Ta´ala):
أُولَـٰئِكَ عَلَيْهِمْ صَلَوَاتٌ مِّن رَّبِّهِمْ وَرَحْمَةٌ
“Hao zitakuwa juu yao sifa kutoka kwa Mola wao na rehema.”[1]
Rehema hapa ni kuwafanyia ihsani na swalah ni kuwasifu. Swalah inapotajwa kwa kuachia kunaingia pia rehema:
هُوَ الَّذِي يُصَلِّي عَلَيْكُمْ وَمَلَائِكَتُهُ
“Yeye ndiye anakusifuni na Malaika Wake wanamuomba akughufurieni.”[2]
Kwa maana ya kwamba anawasifu na kuwarehemu kwa rehema Zake. Hapa ni pale ambapo inatajwa kwa kuachia.
[1] 02:157
[2] 33:43
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydah al-Waasitwiyyah (01)
- Imechapishwa: 12/05/2024
Swali: Vipi kufasiri swalah kwamba ni rehema?
Jibu: Hapana. Kuswalia kwa Allaah ni kusifu. Husemwa kwamba Allaah anawaswalia waja Wake (صلاة على عباده). Lakini ndani ya swalah kunaingia pia rehema. Amesema (Ta´ala):
أُولَـٰئِكَ عَلَيْهِمْ صَلَوَاتٌ مِّن رَّبِّهِمْ وَرَحْمَةٌ
“Hao zitakuwa juu yao sifa kutoka kwa Mola wao na rehema.”[1]
Rehema hapa ni kuwafanyia ihsani na swalah ni kuwasifu. Swalah inapotajwa kwa kuachia kunaingia pia rehema:
هُوَ الَّذِي يُصَلِّي عَلَيْكُمْ وَمَلَائِكَتُهُ
“Yeye ndiye anakusifuni na Malaika Wake wanamuomba akughufurieni.”[2]
Kwa maana ya kwamba anawasifu na kuwarehemu kwa rehema Zake. Hapa ni pale ambapo inatajwa kwa kuachia.
[1] 02:157
[2] 33:43
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydah al-Waasitwiyyah (01)
Imechapishwa: 12/05/2024
https://firqatunnajia.com/rehema-na-amani-ziwe-juu-yake/