Swali: Kuna mmoja figo lake limefeli na umri wake ni zaidi ya sabini. Baadaye aliwekwa figo moja na nyingine ikafeli. Madaktari wamemkataza kufunga.
Jibu: Alishe masikini nusu pishi kwa kila siku moja atakayokula.
Swali: Na Ramadhaan?
Jibu: Vivyo hivyo. Ikiwa si muweza wakithibitisha asifunge maishani basi awalishe masikini kwa kila siku moja nusu pishi.
Swali: Ngapi?
Jibu: Kila siku nusu pishi ambayo ni 1,5 kg ya tende, mchele au ngano.
Swali: Kila siku?
Jibu: Si lazima kufanya kila siku. Anaweza kuikusanya yote na akawapa nayo baadhi ya mafukara kwa muda wa mwezi mzima.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21409/حكم-من-عجز-عن-صوم-رمضان-للمرض
- Imechapishwa: 19/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)