Swali 168: Vipi mtu anayeswali Rak´ah sita baada ya ijumaa kwa kukusanya kati ya Hadiyth ya Ibn ´Umar na Abu Hurayrah?

Jibu: Hilo si lenye kuwa dhahiri.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 73
  • Imechapishwa: 03/04/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´