Kuhusiana na Zayd al-Madkhaliy na Rabiy´ bin Haadiy, hata kama watu watasema yakusema juu yao lakini msimamo wao unajulikana. Wamesema haki, wameandika haki na kuamrisha haki. Ni katika wanachuoni ambao wanapigana Jihaad katika njia ya Allaah kwa ajili ya kunyanyua neno la Allaah. Ikiwa watu hawa wanawaponda basi ni kwa ajili tu Allaah Anataka wachukue madhambi yao, na madhambi ya wenye kufanya hivo yaongezwe na thawabu zao ziongezwe siku ya Qiyaamah
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: www.sahab.net/forums/index.php?showtopic=143060
- Imechapishwa: 08/05/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)