Swali: Umetaja kwamba Qur-aan ni miujiza ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Je, anayo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) miujiza ya kihisia kama miujiza ya Manabii na Mitume wengine?
Jibu: Anayo miujiza mingi. Lakini mkubwa zaidi ni Qur-aan tukufu. Ndio miujiza mkubwa zaidi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (106) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoul%20lahfan-%2027-03-1441.mp3
- Imechapishwa: 14/09/2020
Swali: Umetaja kwamba Qur-aan ni miujiza ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Je, anayo (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) miujiza ya kihisia kama miujiza ya Manabii na Mitume wengine?
Jibu: Anayo miujiza mingi. Lakini mkubwa zaidi ni Qur-aan tukufu. Ndio miujiza mkubwa zaidi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (106) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/ighatoul%20lahfan-%2027-03-1441.mp3
Imechapishwa: 14/09/2020
https://firqatunnajia.com/qur-aan-ndio-miujiza-mkubwa-wa-mtume/