Swali: Ni ipi hukumu ya kutundika baadhi ya Aayah za Qur-aan au Hadiyth za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwenye mabango ndani ya nyumba ni ipi?
Jibu: Fatwa tunayotoa ni kwamba hili halijuzu, kwa sababu hili linapelekea kuanguka na kuonekana kama kutoheshimu maandiko hayo. Aidha kwa sababu Qur-aan haikuteremshwa ili itundikwe ukutani, katika kuta za misikiti au nyumba. Bali imeteremshwa ili ifanyiwe kazi na ihifadhiwe. Hii ndiyo hekima ya kuteremshwa kwake, si kutundikwa kwenye kuta, misikitini au yenye kufanana na hivyo. Basi lililopasa ni kutokufanya hivyo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1090/حكم-تعليق-لوحات-فيها-ايات-قرانية-داخل-البيوت
- Imechapishwa: 24/01/2026
Swali: Ni ipi hukumu ya kutundika baadhi ya Aayah za Qur-aan au Hadiyth za Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwenye mabango ndani ya nyumba ni ipi?
Jibu: Fatwa tunayotoa ni kwamba hili halijuzu, kwa sababu hili linapelekea kuanguka na kuonekana kama kutoheshimu maandiko hayo. Aidha kwa sababu Qur-aan haikuteremshwa ili itundikwe ukutani, katika kuta za misikiti au nyumba. Bali imeteremshwa ili ifanyiwe kazi na ihifadhiwe. Hii ndiyo hekima ya kuteremshwa kwake, si kutundikwa kwenye kuta, misikitini au yenye kufanana na hivyo. Basi lililopasa ni kutokufanya hivyo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1090/حكم-تعليق-لوحات-فيها-ايات-قرانية-داخل-البيوت
Imechapishwa: 24/01/2026
https://firqatunnajia.com/qur-aan-haikuletwa-ili-itundikwe-kwenye-ukuta/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket