Qunuut kwa ajili ya mvua yenye madhara

Swali 187: Je, watu walete Qunuut wakati mvua itaendelea kunyesha na kuwadhuru watu?

Jibu: Ndiyo, ni janga lililozuka.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 83
  • Imechapishwa: 05/04/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´