Jipime maarifa yako kuhusu twahara na swalah

Chemsha Bongo ya twahara na swalah 08

15:00

Inafaa kupangusa juu soksi na khofu nyembamba?

Ni lini unaanza kuhesabiwa muda wa kupangusa juu ya soksi na khofu?

Kipi ni sahihi katika haya?

Nini afanye mtu ambaye anataka kufanya tendo la ndoa na hakuna maji?

Ni kipi katika mambo haya ni nguzo ya swalah?

Swalah inampasa kafiri ambaye amesilimu punde kdg na hajui Suurah hata moja?

Ni ipi hukumu ya kukusanya dua ya kufungulia swalah zaidi ya moja katika swalah moja?

Vipi twahara ya ambaye amepangusa baada ya kumalizika muda uliopangwa na Shariah?

Nini anachofanya mgonjwa asiyeweza kutawadha?

Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya wazushi?

Ni lini wanapigwa watoto wanapokataa kuswali?

Ni kweli kwamba muda wa swalah ya usiku unaanza baada ya Maghrib?

Inafaa kupangusa juu soksi na khofu zisizofunika kongo mbili za miguu?

Ni muda kiasi gani msafiri anatakiwa kupangusa juu ya soksi na khofu?

Nini kinachompasa ambaye yuko na maji lakini hawezi kuyatumia?

Ni muda kiasi gani ambaye si msafiri (mkazi) anatakiwa kupangusa juu ya soksi na khofu?

Ni kipi katika mambo haya ni katika sharti za swalah?

Ni kwanini imesuniwa kusoma Suurah ndefundefu Fajr?

Nini anachotakiwa kufanya mtu anapokumbuka ndani ya swalah kuwa nguo zake zina najisi?

Ni viungo vipi katika wudhuu ni lazima vioshwe?

Ni kipi katika mambo haya ni katika sharti za swalah?