Jipime maarifa yako kuhusu twahara na swalah

Chemsha Bongo ya twahara na swalah 08

15:00

Ni kipi katika mambo haya ni katika sharti za swalah?

Kipi ni sahihi katika haya?

Ni kwanini imesuniwa kusoma Suurah ndefundefu Fajr?

Ni muda kiasi gani ambaye si msafiri (mkazi) anatakiwa kupangusa juu ya soksi na khofu?

Ni ipi hukumu ya kuswali nyuma ya wazushi?

Vipi twahara ya ambaye amepangusa baada ya kumalizika muda uliopangwa na Shariah?

Ni lini unaanza kuhesabiwa muda wa kupangusa juu ya soksi na khofu?

Swalah inampasa kafiri ambaye amesilimu punde kdg na hajui Suurah hata moja?

Nini afanye mtu ambaye anataka kufanya tendo la ndoa na hakuna maji?

Ni muda kiasi gani msafiri anatakiwa kupangusa juu ya soksi na khofu?

Ni ipi hukumu ya kukusanya dua ya kufungulia swalah zaidi ya moja katika swalah moja?

Inafaa kupangusa juu soksi na khofu zisizofunika kongo mbili za miguu?

Nini anachotakiwa kufanya mtu anapokumbuka ndani ya swalah kuwa nguo zake zina najisi?

Ni viungo vipi katika wudhuu ni lazima vioshwe?

Ni kipi katika mambo haya ni katika sharti za swalah?

Ni kipi katika mambo haya ni nguzo ya swalah?

Nini kinachompasa ambaye yuko na maji lakini hawezi kuyatumia?

Ni kweli kwamba muda wa swalah ya usiku unaanza baada ya Maghrib?

Inafaa kupangusa juu soksi na khofu nyembamba?

Ni lini wanapigwa watoto wanapokataa kuswali?

Nini anachofanya mgonjwa asiyeweza kutawadha?