Jipime maarifa yako kuhusu swawm

Chemsha Bongo ya Ramadhaan 05

15:00

Ni lini kuna matarajio makubwa zaidi ya kupata usiku wa Qadr?

  • Tarehe 30 Ramadhaan

Ni ipi hukumu ya swawm ya ambaye kumeadhiniwa Fajr akiwa na chakula mdomoni?

  • Ameze kilichomo tayari mdomoni mwake ila asichukue kingine na swawm yake ni sahihi

Je, inafaa kutegemea Hesabu juu ya kuanza na kumalizika mwezi wa Ramadhaan?

  • Haifai, waislamu wanategemea kuangalia mwezi

Inafaa kujifunika shuka moja na mke mchana wa Ramadhaan?

  • Inafaa tu kama wanandoa wote hawakufunga

Ni yepi malipo ya mwenye kusimama usiku wa Qadr kwa imani na matarajio?

  • Atasamehewa madhambi yake yaliyotangulia

Ni ipi hukumu ya muislamu asiyefunga Ramadhaan bila udhuru wowote?

  • Ni mtenda dhambi ndogo

Ni upi usahihi wa Hadiyth inayosema kumi la kwanza la Ramadhaan ni la rehema, la pili ni la msahama na la tatu kuachwa huru na Moto?

  • Ni maneno ya Swahabah
  • Ni maneno ya wanazuoni

Nini imesuniwa kusema kwa mwenye kukutukana ilihali umefunga?

  • Mwambie "Mimi nimefunga!"

Ni ipi hukumu ya mnyonyeshaji asiyeweza kufunga Ramadhaan?

  • Baba wa mtoto atamsaidia kufunga
  • Kama anachelea nafsi yake na mtoto wake atalipa na kulisha masikini mmoja kwa kila siku aliyofungua

Je, inafaa kwa mwenye kukaa Itikaaf kutoka msikitini?

  • Ndio, ila asifanye masaa mengi nje ya msikiti

Ni ipi hukumu ya swawm ya aliyetapika?

  • Huyo ni mgonjwa na lazima afungue

Ni lini unaanza muda wa Itikaaf?

  • Baada ya swalah ya Fajr tarehe 21 Ramadhaan

Ni ipi kafara ya mfungaji aliyefanya tendo la ndoa na mkewe mchana wa Ramadhaan?

  • Kufunga siku 40 kwa mfululizo

Ni ipi hukumu ya mjamzito asiyeweza kufunga Ramadhaan?

  • Atalisha masikini wawili kwa kila siku moja aliyokula
  • Ni lazima afunge kwa hali yoyote

Ni lini unaisha muda wa Itikaaf?

  • Kuzama kwa jua ile siku ya mwisho ya Ramadhaan

Ambaye hakufunga Ramadhaan anaweza kukaa Itikaaf?

  • Anaweza tu kama amefunga

Inafaa kuswali Rakah tatu za Witr kwa salamu moja?

  • Ndio, inafaa

Imesuniwa kusema nini baada ya swalah ya Witr?

  • Subhaana Malikul qudduus mara 3, kisha Rabbul Malaaikati war-Ruuh mara 1

Je, mtu anaweza kukaa Itikaaf miezi mingine nje ya Ramadhaan?

  • Hapana, hawezi

Je, inafaa kufunga siku ya shaka kwa ajili ya kuchukua tahadhari?

  • Inajuzu na hakuna ubaya wowote
  • Swawm ni ´ibaadah kubwa na hivyo inapendeza

Inafaa kwa mwenye udhuru wa kufunga (kama mwenye hedhi) kula hadharani mchana wa Ramadhaan?

  • Inafaa kwani yuko na udhuru wa kishari'ah
  • Inafaa tu kula jua likishazama

Ni wapi mtu anatakiwa kukaa Itikaaf?

  • Msikitini
  • Kote tu ni sawa