Jipime maarifa yako kuhusu ´Aqiydah sahihi

Chemsha Bongo ya ´Aqiydah sahihi 03

15:00

Imani ina tanzu (matawi) ngapi kwa mujibu wa Hadiyth mashuhuri ya Mtume?

  • 50 na zaidi

Mtume aliwalingania washirikina katika Tawhiyd kwa miaka mingapi?

  • 5

Ni vitabu vingapi ambavyo Allaah aliwateremshia Mitume Yake?

  • 5

Ni ipi hukumu ya anayepinga adhabu ya ndani ya kaburi?

  • Ni suala lina makinzano kwa Ahl-us-Sunnah

Ni ipi haki ya Allaah kwa waja?

  • Kutambua kuwa Yeye ndiye mkubwa kuliko kila kitu

Je, inafaa kufanya ibaadah makaburini kama vile kusoma Qur-aan n.k.?

  • Inafaa kufanya 'ibaadah karibu na makaburi ya waja wema

Je, watu watafanyiwa hesabu na kulipwa kwa matendo yao baada ya kufufuliwa?

  • Ndio

Ni ipi haki ya viumbe kwa Allaah?

  • Allaah si muweza wa kila kitu

Ni kipi sahihi katika haya?

  • Allaah hayuko ndani ya ulimwengu wala nje ya ulimwengu

Ni ipi hukumu ya uchawi na mchawi?

  • Ni ukafiri na mchawi ni kafiri

Ni ipi hukumu ya anayechinja kwa ajili ya kujikurubisha kwa majini?

  • Ni kafiri, kwa.s amemfanyia 'ibaadah asiye Allaah

Ihsaan ina nguzo ngapi?

  • 1

Ni ipi hukumu ya mwenye kumkufuru Mtume mmoja tu?

  • Wanazuoni wametofautiana

Ni nani katika hawa watatu ambaye ametenda dhambi kubwa zaidi?

  • Aliyemwingilia dada yake

Ni ipi hukumu ya kwenda kwa mpiga ramli na kuhani?

  • Ni kufuru

Je, inafaa kutufu mahali popote zaidi ya Kabah?

  • Kutufu kunaweza kufanywa pia kwenye kaburi la walii

Ni ipi ngazi ya pili katika ngazi za Uislamu?

  • Ihsaan

Ni ipi hukumu ya anayepinga kufufuliwa?

  • Kafiri

Je, inafaa kutafuta baraka kutoka kwa kiumbe?

  • Mambo ya baraka hakuna kabisa

Kuna aina ngapi za kufuru na ni zipi?

  • 2; kubwa na ndogo

Je, inafaa kumwomba maiti akuombee dua au akusaidie jambo?

  • Inafaa kumwomba maiti kama ni walii peke yake

Ni ipi shirki ya kwanza kujitokeza ardhini?

  • Kuabudia mizimu