Jipime maarifa yako kuhusu ´Aqiydah sahihi

Chemsha Bongo ya ´Aqiydah sahihi 02

15:00

Umemjuaje Mola wako?

  • Kwa kumtafakari

Ni kipi katika haya ni baadhi ya mfano wa shriki kubwa?

  • Uzinzi, pombe na kumuasi mtawala

Nini malengo ya kuumbwa wanadamu na majini?

  • Kumwabudu Allaah

Ni ipi hukumu ya kuweka nadhiri kwa asiyekuwa Allaah?

  • Ni shirki kubwa

Je, mtu anakuwa mshirikina kwa kumfanyia ibaadah Mtume au Malaika?

  • Itategemea na ibaadah gani anamfanyia

Ni dhambi ipi ambayo Allaah haisamehi?

  • Shirki kubwa

Ni yepi malipo ya anayekata hirizi kutoka kwa mtu?

  • Ataingia Peponi bila ya hesabu

Nini maana ya ibaadah?

  • Ni kila anachokipenda na kukiridhia Allaah katika maneno na matendo, yenye kuonekana na yaliyojificha

Ni ipi hukumu ya mwenye kuamini kuwa Qur-aan ni kiumbe?

  • Imani hiyo ni ukafiri, kwa.s Qur-aan ni maneno ya Allaah

Ni kipi katika haya ni baadhi ya mfano ya shriki ndogo?

  • Mfano wa shirki ndogo ni kuapa kwa asiyekuwa Allaah

Ni maana ya laa ilaaha illa Allaah?

  • Hakuna mwenye kuhukumu ila Allaah

Je, kuna uwezekano mshirikina akaingia Peponi?

  • Hapana, Pepo ni haramu kwa mshirikina na kafiri

Ni nini maana ya Mola?

  • Mmiliki na mwabudiwa

Ni ipi hukumu ya mwenye kufa juu ya shirki kubwa?

  • Ni kafiri na atakaa Motoni milele

Ni ipi hukumu ya matabano (Ruqyah)?

  • Anayefanya matabano hamtegemei Allaah

Ni ipi hukumu ya mwenye kusema Allaah yuko kila mahali?

  • Kufanya hivo ndio upwekeshaji

Ni aina ipi kubwa kabisa ya ibaadah?

  • Swalah tano

Ni ipi katika haya ni tofauti ya shirki kubwa na ndogo?

  • Shirki kubwa inamtia mwenye nayo milele Motoni kinyume na shirki ndogo

Anakuwa mpwekeshaji mtu anayempwekesha Allaah katika matendo Yake lakini akamshirikisha katika ‘ibaadah Zake?

  • Ni mpwekeshaji maadamu anaswali swalah tano

Ni ipi hukumu ya kutundika na kuvaa hirizi ya Aayah za Qur-aan?

  • Inafaa tu kama anaivaa juu ya mavazi safi

Ni ipi hukumu ya kuapa kwa Mtume?

  • Ni dhambi ya kawaida

Ukifungua mwanzo wa msahafu ni ipi amri ya kwanza aliyoamrisha Allaah?

  • Kumwabudu Allaah na kutomfanyia washirika na wenza