Jipime maarifa yako kuhusu Manhaj

Chemsha Bongo masuala ya Manhaj 02

15:00

Ni kipi sahihi katika haya?

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa imani ni kukubali kwa ulimi na kusadikisha kwa moyo?

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa imani ni kuamini na kusadikisha moyoni peke yake?

Ni kipi sahihi katika haya?

Ni sifa zipi tatu muhimu ambazo zinawatofautisha Ahl-us-Sunnah na Ahl-ul-Bid’ah?

Ni imamu yupi katika hawa ambaye alisema (Kulingana juu kunafahamika na namna haifahamiki) yanayotumika kama kanuni katika sifa zote za Allaah?

Tofauti iliopo ya maana ya imani kati ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaaah na wanazuoni wa Murji-ah al-Fuqahaa ni ya kimaana tu au ya kihakika?

Ni lipi katika makundi haya potofu linalosema kuwa Jibriyl ameichukua Qur-aan kutoka kwenye Ubao uliohifadhiwa au kwamba Allaah aliiumba kwenye kitu ambapo Jibriyl akaichukua kutoka katika kitu hicho?

Ni sahihi kufasiri laa ilaaha illa Allaah kwamba maana yake ni hakuna mwenye kuhukumu isipokuwa Allaah?

Ni kipi sahihi katika haya?

Ni kipi sahihi katika haya?

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa Qur-aan ni ibara ya maneno ya Allaah?

Ni kundi potofu lipi katika haya linalopinga kuonekana kwa Allaah kabisa na kwamba haiyumkiniki?

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa Allaah anaonekana duniani na Akhera?

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa Shahaadah maana yake ni kuondosha yakini mbovu na kuingiza yakini sahihi juu ya Allaah?

Ni kipi sahihi katika haya?

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa imani ni kutamka kwa ulimi peke yake?

Je, mtu anaweza kuwa muumini akiacha matendo yote kabisa bila udhuru?

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa Qur-aan ni simbulizi (hikaya) ya maneno ya Allaah?

Ni sifa ngapi za Allaah wanazothibitisha Ashaairah?

Ni nani katika makafiri hawa aliyesema kuwa Qur-aan si maneno ya Allaah?

Ni nani mwanzishi wa Jamaa´at-ut-Tabliygh?