Jipime maarifa yako kuhusu Manhaj

Chemsha Bongo masuala ya Manhaj

15:00

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa waumini hawatomuona Allaah siku ya Qiyaamah?

  • Jahmiyyah

Ni kundi potofu lipi katika haya linaloamini kuwa Qur-aan ni kiumbe na si maneno ya Allaah?

  • Qadariyyah

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa imani ya Jibriyl na Khawaarij inalingana na imani ya mtenda maovu mkubwa zaidi katika viumbe?

  • Qadariyyah

Ni kundi potofu lipi katika haya linalopinga makadirio (Qadar)?

  • Mu'tazilah

Ni kundi potofu lipi katika haya linalothibitisha majina ya Allaah na kukanusha sifa Zake?

  • Qadariyyah

Murji-ah al-Fuqahaa’ ni katika Ahl-us-Sunnah wal-Jamaaah?

  • Ni wazushi wa kupindukia

Ni wapi wametofautiana Khawaarij na Ahl-us-Sunnah inapokuja katika suala la imani?

  • Khawaarij wanaona kuwa haipungui lakini inazidi

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa waumini watamuona Allaah lakini si kutoka upande wowote?

  • Ashaa'irah

Ni kipi katika haya ni imani ya Murji-ah al-Fuqahaa waliyokosea katika suala la imani?

  • Wanaona kuwa imani inazidi na kupungua, lakini matendo si sehemu katika imani

Ni kundi potofu lipi katika haya linalopinga adhabu ya ndani ya kaburi?

  • Jabriyyah

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa mja ametenzwa nguvu katika matendo yake na kwamba hana khiyari?

  • Khawaarij

Ni kundi potofu lipi katika haya linaloona kuwa matendo si katika imani?

  • Raafidhwah

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa Qur-aan ni maana iliyo ndani ya nafsi ya Allaah?

  • Raafidhwah

Ni kundi potofu lipi katika haya muuminl mwenye kufa katika dhambi kubwa si muumini wala si kafiri, yuko katika ngazi kati ya ngazi mbili?

  • Murji-ah

Ni nani mwanzilishi wa kikundi cha Jahmiyyah?

  • Amr bin 'Ubayd

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa Maswahabah wote ni makafiri isipokuwa 7-8 tu?

  • Jabriyyah

Ni kina nani katika hawa wanaopinga na kukataa majina na sifa za Allaah?

  • Jahmiyyah

Ni sentesi ipi katika hizi ni sahihi?

  • Imani ni kutamka pekee bila kufanya matendo

Hii leo wapo wale Qadariyyah wanaosema kuwa Allaah hayajui mambo ya viumbe Wake isipokuwa baada ya kutokea?

  • Wapo kati ya Jahmiyyah

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa imani ni kule kutambua ndani ya moyo peke yake?

  • Qadariyyah

Ni kundi potofu lipi katika haya linalosema kuwa muumini mwenye kufanya dhambi kubwa ni kafiri?

  • Shiy'ah

Ni nani mwanzilishi wa Mu’tazilah?

  • Bishr al-Mariysiy