Swali: Vipi kuhusu kuweka Qaswiydah na Anaashiyd kama mlio wa simu?
Jibu: Hii ni mifumo ya Ahl-ul-Bid´ah. Kimsingi Anaashidy hizi za kidini zimetoka kwa Suufiyyah. Usifanye hivo na wala usiziweke katika simu yako. Wakati mwingine Qaswiydah hizi zinakuwa na kitu katika Adhkaar na khaswa zile Qaswiydah wanazoita kuwa ni za dini au za Zuhd ambazo zinazosisitiza juu ya Aakhirah na kuipa nyongo dunia. Kunaweza kuwa kuna kipande ambacho kinamtaja Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) au kinachotaja jina la Allaah. Hili si sawa. Haijuzu kuweka kitu katika haya.
- Muhusika: Shaykh Muhammad bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://miraath.net/ar/content/fatawa/8883520
- Imechapishwa: 26/11/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)