Swali: Je, inajuzu kwa mtu akichelea kutumbukia katika uzinzi badala yake ajichue sehemu ya siri?
Jibu: Hapana, haijuzu. Afunge. Atumie swawm, kama alivyoelekeza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Swali: Msafiri akitua njiani kwa muda wa siku moja akusanye kati ya swalah pamoja na kwamba anasikia adhaana?
Jibu: Kufaa inafaa midhali yeye ni msafiri. Lakini lililo bora ikiwa msikiti uko karibu basi aende na kuswali pamoja na waislamu.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (22) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-26-3-1435.mp3
- Imechapishwa: 29/03/2020
Swali: Je, inajuzu kwa mtu akichelea kutumbukia katika uzinzi badala yake ajichue sehemu ya siri?
Jibu: Hapana, haijuzu. Afunge. Atumie swawm, kama alivyoelekeza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Swali: Msafiri akitua njiani kwa muda wa siku moja akusanye kati ya swalah pamoja na kwamba anasikia adhaana?
Jibu: Kufaa inafaa midhali yeye ni msafiri. Lakini lililo bora ikiwa msikiti uko karibu basi aende na kuswali pamoja na waislamu.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (22) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdatul-26-3-1435.mp3
Imechapishwa: 29/03/2020
https://firqatunnajia.com/punyeto-badala-ya-uzinzi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
