Swali: Ni upi sahihi wa Hadiyth ya Anas:
”Pepo (طوبى) kwa yule ambaye anajishughulisha na makosa yake badala ya makosa ya wengine.”?
Jibu: Haina neno. Ni nzuri kwa mujibu wa Haafidhw [Ibn Hajar] (Rahimahu Allaah).
Swali: Inakuweje pale mtu anapotaja kasoro za watu kwa lengo la kutahadharisha?
Jibu: Ikiwa ataangalia kasoro za watu azitahadharishe. Azitafakari ili azitahadharishe. Makosa za watu katika ghadhabu, makosa ya watu katika haraka, makosa ya watu katika usengenyi. Anatakiwa kuzingatia yale maovu yanayotokana nayo ili aweze kuyatahadharisha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25222/هل-صح-حديث-من-شغله-عيبه-عن-عيوب-الناس
- Imechapishwa: 18/02/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket