Swali: Ni vipi mtu atafahamu maneno ya Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah kwamba katika “Iqtidhwaa´-us-Swiraatah al-Mustaqiym” kwamba mtu anaweza kulipwa thawabu kwa baadhi ya yale anayoyafanya ambayo yanakwenda kinyume na Sunnah. Lakini analipwa kwa sababu ya makusudio yake mazuri.
Jibu: Mimi nimetaja Hadiyth ya mtu ambaye alichinja Udhhiyah kabla ya swalah ya ´iyd na tukataja maneno ya baadhi ya wanachuoni ambao wamesema kwamba ni lazima kufuata licha ya kuwa mtu atakuwa na makusudio mazuri na tumetaja maneno ya Ibn Mas´uud ambaye alisema:
“Ni wangapi wenye kutaka kheri lakini haiwaipatii.”
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-Muhsin bin Hamad al-´Abbaad
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Bid´at-ul-Mawaalid wa mahabbat-in-Nabiyy http://www.ajurry.com/vb/showthread.php?t=36078
- Imechapishwa: 08/11/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)